Yuko wapi Mtemi mwingine wa kupambana na Mbowe?

Pumba
 
Umeandika firigisi tu. Hakuna point hata moja. Kwanza mtoe Mwendazake kwenye list ya hao viongozi, vision yake ilikuwa haifiki kilometer moja
 
Kama ndio "wasomi " wa chuo kikuu wanakua kama wewe basi tuna safari ndefu kupiga hatua kwenye medani za kimataifa....
 
Mavi
 
Kwa bahati mbaya sana unamfundisha mama kulea! Yaani unamuona hajui malezi yapoje hivyo umeona umfundishe! Ajabu na kweli!. Unamfundisha mwenyekiti kuongoza kuwa hatoshi, sio ?! Unadai tunahitaji kiongozi aina ya magufuli yaani hatumuhitaji Samia. Kwa 'ubobevu' huo unaojibaraguza nao jambo la kwanza ambalo ilitegemewa ulijue, hatufanyi majaribio ya viongozi katika gharama ya hatma za watu, Sabaya mnaeshupaa kumsafisha huku mkimdhihaki mh rais kwa ajili yake, baada ya kufanya hayo majaribio ya uongozi kwa gharama ya maisha ya watu, akishagundua kuwa aliwakosea, atawafidia ?ama hatma yao itakuwaje ??. Kuna mambo mawili wewe Mataga yakupasa utambue
1. DC ni muwakilishi wa mh. Rais ktk wilaya, yale anayoyafanya yanapasa kuwakilisha dhamira ya utendaji wa rais ktk eneo lake la utawala, kama anayoyafanya hayakidhi matarajio ya rais anaweza kumtoanmuda wowote, na kama kuna aliyoyafanya yanahitaji uchunguzi maalum, mh rais anaweza kufanya hivyo muda wowote atakao. Kama sabaya hakuwa anafanya kazi kufuata miongozo na maono ya mh. Rais kama ilivyo kwa wakuu wa walaya waliowahi kutolewa ktk nafasi hizo kwa makosa kama hayo, naye sabaya atatolewa na kuwekwa mwengine. DC lazima atende na aonekane akitenda kama muwakilishi wa mh rais na si vinginevyo.
2. Ukuu wa wilaya sio jukwaa au darasa la kujifunza uongozi, kama hatoshi au anahitaji kujifunza, akatafute sehemu ya kujifunzia sio katika nafasi hiyo. Kama kuwa kijana ndiyo kinga ya kufanya upuuzi, Salim Ahmed Salim asingeteuliwa kuwa balozi wetu Misri katika umri aliokuwa nao, nyerere asingeisimamia nchi hii ktk umri ule wala Thomas Sankara asingekuwa moja ya nguzo za uongozi inayotajika hata sasa. Arudi kujifunza kama 'hajaiva kiuongozi' (kama ulivyosema kwa maneno yako)
3. La mwisho, kama Mwenyekiti unamuona hatoshi,tokeni kwenye chama hiki, tafuteni pa kwenda, Samia ndiye mwenyekiti na ANATOSHA. Wewe na huyo Sabaya wako (ambaye huwenda amekutuma kumtukana, kumdhihaki na kumsogosha mh rais) mnaweza kuondoka hata sasa na chama hiki kitaendelea kuwa mshikadola. Hatujushinda Hai sababu ya Sabaya tumeshinda sababu ya kazi zetu. Mataga mishale imetoka na farasi wanarudi mwenyewe jueni emyi mataga, sisi mliotukuta na ccm yetu, tupo na rais wetu,tupo na samia wetu. Mtashindana nae lakini hamtoshinda. Mataga mmoja wewe !.
 
This is the worst presentation of the year, must be from a very low IQ.
 
Umesoma makaratasi ila kichwani hamna kitu.
Unaposema chadema walitaka sabaya aondoke, kwa akili zako chama cha upinzani unategemea kiwaunge makada wa chama kinxani mkono?
Hapo hujatumia akili.
Swala la kufutwa legacy ya Jpm hilo limeshaanza kuanzia bungeni spika kushangaa ujenzi wa bandari ya bagamoyo iliyokataliwa na mwendazake.
Na juzi Prof Ndelichako kagongea msumari watoto waliopata mimba kuendelea ma masomo ambapo mwendazake alisema hawezi kusomesha wazazi.
Ni machache tu ktk mengi kwa muda mfupi tunaanza kuyafuta ktk hicho unachoita legacy.
 
Unawatia watu hasira ili tu siredi zako zijaze posti kibao za kukupaka mbovu, Aiseee....
 
Maneno Mengi,lakini sijaona la maana,Chadema ni chama Cha siasa,na uenyekiti wa Mbowe unafata Katiba ya Chadema,sasa nyie ccm shida yenu nini!
Yaani mambo yafanyike Chadema,kero wapate ccm!ajabu sana.
Mzee Sita alikuwa Mbunge wa urambo kwa miaka Mingi,nenda kaone kama kuna kitu alifsnya,alipofariki,jimbo lake alipewa nani?Mke wake,kama ni ufalme upo kwenu,
Mgimwa alipofariki,jimbo akampa mtoto wake,
Kikwete alipoiacha chalinze,jimbo akachukua mtoto wake,huo ndio ufalme,
 
Leslie Mbena,

..achana na Ole Sabaya.

..unajichafua bure kwa kumtetea.

..siasa za sasa hivi zimebadilika, unajiharibia kuunga mkono vijana wahuni na wahalifu kama Ole Sabaya.
Anazidi kudhihirisha kuwa vijana wa kitanzania waluozaliwa miaka ya 80 na 90 wanafaa tu kuwa wapambe wa viongozi na kamwe hawafai kupewa uongozi hasa wakishapata vidigrii ndio kabisaa
 
Kama Magu alitukana watu kwenye mikutano bado akatetewa,siwezi shangaa kwa Sabaya aliyefanya vitu gizani
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa Bro!!! Hali hii ndio una ka BA na ka MA afu unakuja kutuanikia hako ka BA na hako ka MA kako kakudesa hapa eti unatuwekea kabisa na namba ya simu na hizo pumba zako kweli !!!

Wewe ungekua na BSc. na MSc. Si ungepita na gari la matangazo nchi mzima wewe kututangazia, sasa hao wenye BSc. na MSc. Je wasemeje sasa kweli ushamba mzigo sana

Cha ajabu una MA ya Leadership and Management afu unaandika utopolo wa aina hii kweli da! [emoji17][emoji17][emoji17]

Afu na wewe unajiita msomi eti umeweka na namba za simu hapo yani ndio upegiwe simu upewe wilaya ya Hai au [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mxiueszzz [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] !!! Ndio vijana wasomi nyie da [emoji17][emoji17][emoji17]
 
Una Masters lakini akili huna unapinga Demokrasia sasa ukipambana na mbona ukamtoa kwenye mkapata ushindi wa kishindo kama mliopata nini kimebadirika Tanzania?
 
Umesomea ujinga na unadhihirisha ujinga wako mbele ya umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…