Yuko wapi Mtemi mwingine wa kupambana na Mbowe?

Unaonganisha na CV kabisa

Subiria teuzi

Ova
Anataka kumfanya mama ni mjinga kuhadaika na hoja hizi za kijinga?
Huyu Mbena ni mpuuzi asiye jitambua, hajiulizi kwa nini Sabaya kafyekwa haraka tuu baada ya kujipendekeza Clouds ili mama amuone? Sasa kumuona kweli na kampa haki yake.
Mbena umejipaka choo kwa kujionyesha kuwa wewe ni CCM unayepingana na mema yanayofanywa na Mwenyekiti wako sasa subiri.
Utaweka CV zako na namba ya simu hadi ya mkeo na wazazi wako lakini ndio basi tena!
 
Hivi wkt unaandika Sabaya alikuwa hajafungwa vile!
 
Baelezeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…