Safari katolewa kafara yeye na Mhindi.
Huyo ndugu, huwa naupenda sana uandishi wake. Hata akiandika nisichokipenda, huwa siachi kusoma mpaka mwisho. Huwa nakutana na maneno mengi ambayo ni mapya kwangu.Mnamtafuta siyo?subirini aje muone. [emoji16][emoji16]
Leo nilimuona kwa mbali sana kwa Id nyingineKumbe tupo wengi, mwenyewe nimetafuta sana uzi wa huyu jamaa ila nikakosa hua napenda sana mauzauza na vitisho vyake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia kasepa kusiko julikana