Yuko wapi Mzee Abdallah Salum, aliyejiitaga Mtume kule Mkuranga?

Yuko wapi Mzee Abdallah Salum, aliyejiitaga Mtume kule Mkuranga?

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
2,660
Reaction score
3,501
Miaka ya 2000 nakumbuka kipindi hicho Sheikh Nurdin Kishk alikuwa kiboko ya bidaa basi nikawa napenda sana kuangalia kanda zake. Siku hiyo kwenye 2008-2009 nikaenda Dar kurudi nikarudi na cd za mafungu za kutosha nikawa naangalia kwa kina fulani ambaye ni rafiki yangu wa damu

Miongoni mwa kanda zile ambayo siisahau ni ya Mzee mmoja kutoka Mkuranga ambaye alikuwa akidai kuwa anashushiwa wahyi kutoka kwa mwenyezi Mungu. Sheikh Kishk kama kawaida na jopo lake wakatinga kwa Mzee yule ili kufanya nae mnakasha. Basi bwana Mzee Abdallah Salum pamoja na maswahaba zake ilikuwa ni kichekesho sana

Nasema kichekesho kwani kwa namna mashekhe wale walivyokuwa wamejiandaa na walichokutana nacho binafsi niliona ni vitu viwili tofauti kabisa. Mzee na watu wake walikuwa ni watupu kabisa na hata walipobananishwa warejee vitabu hayupo aliyetoa andiko zaidi ya porojo tu. Mzee anavyoongea tu unaona hakuna anachosimamia bali mashetani tu yalikuwa yamemchezea

Vitu vilivyonifanya nicheke sana na kuipenda ile kanda ni kwanza mzee mwenyewe, pili kijana mmoja ambaye alikuwa mjanja janja sana muongeaji na tatu ni kina kishk na jopo lake walivyokuwa wakitumia busara ya hali ya juu sana kuzungumza na wale watu. Video ile ndiyo ikanifanyaga nione kazi ya uhadhiri wa dini si lelemama.

Nilifuatilia sana enzi zile kama ningeona CD ya mwendelezo wa wale watu kilitokea nini baadae lakini sikupata. Sasa juzi katika kuzurura YouTube si ndio nikakuta zile video tena kwa bahati mbaya zikiwa vile vile hazijaendelea.

Nikajaribu kutafuta taarifa bila mafanikio ndomaana nikapata wazo la kuuliza humu kama kuna mwenye video nyingine kuhusu yule mzee na vijana wake au mwenye taarifa hata ya mdomo tu kwamba wale watu ilikuwaje aniambie. Maana mashekhe waliazimia kurudi mara nyingine na watu wale walionesha wapo tayari kwenda kusoma nje na kwa Mzee Abdallah Salum. Natumai taarifa zao kuhusu mbeleni walivyokuja kuwa ni nzuri sana bila shaka hususan yule kijana (m'baba) muongeaji sana
 
Simu ikaita mzee akapandisha mashetani balaa, maswahaba zake walimaindi sana mwenye ile simu iliyoita
 
Miaka ya 2000 nakumbuka kipindi hicho Sheikh Nurdin Kishk alikuwa kiboko ya bidaa basi nikawa napenda sana kuangalia kanda zake. Siku hiyo kwenye 2008-2009 nikaenda Dar kurudi nikarudi na cd za mafungu za kutosha nikawa naangalia kwa kina fulani ambaye ni rafiki yangu wa damu

Miongoni mwa kanda zile ambayo siisahau ni ya Mzee mmoja kutoka Mkuranga ambaye alikuwa akidai kuwa anashushiwa wahyi kutoka kwa mwenyezi Mungu. Sheikh Kishk kama kawaida na jopo lake wakatinga kwa Mzee yule ili kufanya nae mnakasha. Basi bwana Mzee Abdallah Salum pamoja na maswahaba zake ilikuwa ni kichekesho sana

Nasema kichekesho kwani kwa namna mashekhe wale walivyokuwa wamejiandaa na walichokutana nacho binafsi niliona ni vitu viwili tofauti kabisa. Mzee na watu wake walikuwa ni watupu kabisa na hata walipobananishwa warejee vitabu hayupo aliyetoa andiko zaidi ya porojo tu. Mzee anavyoongea tu unaona hakuna anachosimamia bali mashetani tu yalikuwa yamemchezea

Vitu vilivyonifanya nicheke sana na kuipenda ile kanda ni kwanza mzee mwenyewe, pili kijana mmoja ambaye alikuwa mjanja janja sana muongeaji na tatu ni kina kishk na jopo lake walivyokuwa wakitumia busara ya hali ya juu sana kuzungumza na wale watu. Video ile ndiyo ikanifanyaga nione kazi ya uhadhiri wa dini si lelemama.

Nilifuatilia sana enzi zile kama ningeona CD ya mwendelezo wa wale watu kilitokea nini baadae lakini sikupata. Sasa juzi katika kuzurura YouTube si ndio nikakuta zile video tena kwa bahati mbaya zikiwa vile vile hazijaendelea.

Nikajaribu kutafuta taarifa bila mafanikio ndomaana nikapata wazo la kuuliza humu kama kuna mwenye video nyingine kuhusu yule mzee na vijana wake au mwenye taarifa hata ya mdomo tu kwamba wale watu ilikuwaje aniambie. Maana mashekhe waliazimia kurudi mara nyingine na watu wale walionesha wapo tayari kwenda kusoma nje na kwa Mzee Abdallah Salum. Natumai taarifa zao kuhusu mbeleni walivyokuja kuwa ni nzuri sana bila shaka hususan yule kijana (m'baba) muongeaji sana
Naomba link ya youtube
 
Ile kazi ni nguvu mno ya kutoa dawah hatari yaani unaweza kuulizwa swali halipo kabisa🤣🤣.

Siku moja niliona shekhe mmoja akiulizwa kuhusu makundi ya al shabab ,jamaa alivyojibu kwanza alicheka sana alichambua mpaka watu wakatulia aisee ,wahadhiri wa dini ni nondo bahati mbaya tulikuwa tunasikiliza kwa kanda za cassette mpaka leo sijajua jina la yule shekhe ila alikuwa mkenya.
 
Ile kazi ni nguvu mno ya kutoa dawah hatari yaani unaweza kuulizwa swali halipo kabisa[emoji1787][emoji1787].

Siku moja niliona shekhe mmoja akiulizwa kuhusu makundi ya al shabab ,jamaa alivyojibu kwanza alicheka sana alichambua mpaka watu wakatulia aisee ,wahadhiri wa dini ni nondo bahati mbaya tulikuwa tunasikiliza kwa kanda za cassette mpaka leo sijajua jina la yule shekhe ila alikuwa mkenya.
Wewe unajua al shabab ni dini gani?
Wanatetea dini gani?

Kule afaghanstan wanaowalazimisha wanawake kuvaa ijabu ni dini gani?

Kule afaghanstan wale wanaowakataza wanawake kwenda shule ni dini gani?

Mkuu wewe hata hapa Tanzania unajua kabisa bila kuwepo Bakwata wale wavaa pedo wangesumbua sana nchi hii kwa misimamo yao,Hawana nguvu kwa kuwa bakwata ipo

Bila Bakwata basi tambua mambo ya Somalia na Afaghanstan yangekuwepo Tanzania

Soma soma elimika,La kuambiwa na shekhe changanya na uhalisia..
 
Jamaa waliomba radhi sana... Sasa yule aliyekuwa akiwamaindi sijui alikuwaje alipokuja kugundua kuwa wale siyo watu wadogo kielimu
Simu ikaita mzee akapandisha mashetani balaa, maswahaba zake walimaindi sana mwenye ile simu iliyoita
 
Back
Top Bottom