Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Yanga ina uhusiano wa karibu na wa kihistoria na CCM (ASP+TANU), Kucheza na Yanga ni kucheza na CCM na kucheza na CCM ni kucheza na serikali na kucheza na serikali ni kucheza na Moto wa makaa ya mawe.
Kwahiyo kucheza na Yanga ni kucheza na moto wa makaa ya Mawe. Pole sana mzee.
Soma Pia: Mzee Magoma Akata Rufaa, asema bado hautambui Uongozi
Kwahiyo kucheza na Yanga ni kucheza na moto wa makaa ya Mawe. Pole sana mzee.
Soma Pia: Mzee Magoma Akata Rufaa, asema bado hautambui Uongozi