Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Makosa tumeumbiwa wanadamu.Yaani "Mwandri" nilifikiri umelikosea bahati mbaya huku kwenye heading kumbe sio bajayi mbaya maana umelirudia hadi huku kwenye content[emoji2]
Mimi ni typing error sababu ya key boardMakosa tumeumbiwa wanadamu.
Takataka likua, chawa la kutupwa. Eti Mungu amshukuru magufuli (au hakusema yeye?). All those were stupid human beings ever on earth!Amani iwe kwenu.
Mimi siyo muumini wa uchawa na wala siyo chawa. Huyu mzee wetu alikuwa chuma haswa kiutendaji Kwa nafasi alizowahi kuzishika.
Mama Samia kama itakupendeza kama Mzee wetu Agrey Mwandri umri unamruhusu basi mpe mkoa wa dar awe mkuu wa mkoa atakusaidia sana.
Tangu aseme Mungu anatakiwa amshukuru Magufuli sitaki hata kumsikia.Amani iwe kwenu.
Mimi siyo muumini wa uchawa na wala siyo chawa. Huyu mzee wetu alikuwa chuma haswa kiutendaji Kwa nafasi alizowahi kuzishika.
Mama Samia kama itakupendeza kama Mzee wetu Agrey Mwandri umri unamruhusu basi mpe mkoa wa dar awe mkuu wa mkoa atakusaidia sana.