Yuko wapi Nape Nauye?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Wakuu
Toka Rais wetu Kipenzi Daktari Samia Suluhu afanye mabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri na kuamua kumpumzisha Ndugu Nape Nauye,hatujamuona wala kumsikia hadharani mwanasiasa huyo machachari.
Je Nape atakua yuko mapumzikoni wapi?
 
Ila na wewe Samia kisa cha kuwatumbua hao jamaa ni nini?
Hata mm huwa naamini ni mama samia ,nlipata bahati kuongea na mama kipindi ana shamba la mchele kubwa bado hajawa mkubwa ni anazile tabia za kizenji wanajifanya wastaarabu wa kauli ila kwenye matendo anaweza kukunyonga.unahitaji phd kudeal na wazenji ni hawaeleweki
 
Wakuu
Toka Rais wetu Kipenzi Daktari Samia Suluhu afanye mabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri na kuamua kumpumzisha Ndugu Nape Nauye,hatujamuona wala kumsikia hadharani mwanasiasa huyo machachari.
Je Nape atakua yuko mapumzikoni wapi?
Kinachowapa nguvu ni madaraka yaliyojengwa kwa misingi ya baba zao. sasa madaraka hana na kama alivyosema Lisu, hawa wanatembelea nyota za baba zao na hawana nhguvu ya kujijenga wenyewe. Atapotea milele huyo. sasa na ubunge ukiota mbawa amekwisha na atakufa kwa kihoro
 
Wakuu
Toka Rais wetu Kipenzi Daktari Samia Suluhu afanye mabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri na kuamua kumpumzisha Ndugu Nape Nauye,hatujamuona wala kumsikia hadharani mwanasiasa huyo machachari.
Je Nape atakua yuko mapumzikoni wapi?
Nimemuona juzi The The Don Pub Arusha anakunywa K vant bila kuchanganya na maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…