Yuko wapi Nyani Ngabu?

Status
Not open for further replies.
Hehehehehehe..

Hivi kumbe Dina ndiye Mama Sabrina? Kwanini mnachukiana hivo? Nyie si mlikuwa wapenzi humu mnatuandikia mashahiri [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Who is next on the list..!! JF haiishi vituko...
Chief upo?
 
Hehehehehehe..

Hivi kumbe Dina ndiye Mama Sabrina? Kwanini mnachukiana hivo? Nyie si mlikuwa wapenzi humu mnatuandikia mashahiri [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Who is next on the list..!! JF haiishi vituko...
Wapenzi my black ass......
 
Hehehehehehe..

Hivi kumbe Dina ndiye Mama Sabrina? Kwanini mnachukiana hivo? Nyie si mlikuwa wapenzi humu mnatuandikia mashahiri [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Who is next on the list..!! JF haiishi vituko...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] fisadi nyangumii woyoooooo!!![emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi alo anzisha huu uzi anajua burudani alo tuletea hapa?
Maana uzi uko fireee[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo ni hivii

Mi nlishangaa tu kuona "ice wangu" nkashtuka na kuanza kuunga doti kimya kimya
 
kwahiyo mama S ndo umeamua kufichua na id ya dinazarde si ungesema ukaazimwa Id?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…