Na kidhungu hujui [emoji23] [emoji23]Nimeishia form 4 hahahahaaa.
Daaaaah!
Dina kichaa sanaHaaahaaa....Dina kaamua leo!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] 4m4Nimeishia form 4 hahahahaaa.
Daaaaah!
Hebu nione hiyo flat....huenda ukawa Meghan wangu [emoji2] [emoji2] [emoji2]Uwii nilitukanwa maskini mpaka kafanya nimenunuliwa bonge la kiwanja na bonge la handsome ndani ya mjengo na soon najengewa Kama zaribosslady [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe kutukanwa saa nyingine baraka
Eti flat ass,.. Prince mwenyewe kaoa Meghan hata hips hana
Yes baba tena ni bonge la mwanaume bonge la handsome docta ulimwengu hagusi, ama kweli kibaya kimepata kizuri chakeMama Sabri ana G wake jaman
Tulikuwa tuna taniana tuu mweeh!!
[emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Huyo Amber Rose...tuletee Dina original
Na kidhungu hujui [emoji23] [emoji23]
Maaana sijaelewa vile...Hebu ulizaa kwanzaa
Hilo ndo jibu SHAMMA?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Na mimi ntakiongea tu wala msijali[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] 4m4
Hana hips,hana bikra...divorcee tu kama Mimi halooo[emoji108] [emoji108] [emoji101] [emoji101] [emoji101] [emoji101] !!black American!!!Uwii nilitukanwa maskini mpaka kafanya nimenunuliwa bonge la kiwanja na bonge la handsome ndani ya mjengo na soon najengewa Kama zaribosslady [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe kutukanwa saa nyingine baraka
Eti flat ass,.. Prince mwenyewe kaoa Meghan hata hips hana
Halafu bado Meghan ana vigimbi fresh[emoji23] [emoji23]Uwii nilitukanwa maskini mpaka kafanya nimenunuliwa bonge la kiwanja na bonge la handsome ndani ya mjengo na soon najengewa Kama zaribosslady [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe kutukanwa saa nyingine baraka
Eti flat ass,.. Prince mwenyewe kaoa Meghan hata hips hana
Anajua si yuko yuesi eiiiiNa kidhungu hujui [emoji23] [emoji23]
Ngachoka kabisa!...unaweza tukana mtu humu kumbe babu yako kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna mababu zetu humu ujue!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana mtuHebu nione hiyo flat....huenda ukawa Meghan wangu [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Shost mbona kicheko kikali hivi?
Haaaaaahhhaaaaaaa