Yuko wapi Nyani Ngabu?

Status
Not open for further replies.
Sikupigwa ban kwa ajili hiyo. Huo nao ni uongo. Ni uzushi.

Acheni kuaminishana uzushi.
Ila uliweka picha za Dina?na ukatumia Jina la ukoo wa Dina kufungua I'd jf?
Why?!!!my brother(am sorry nakukubali sana hapa jf)let me call u this...nashukuru Leo nakuuliza hapa!
 
Kafanikiwa nini sasa?

Manake hakuna cha kweli hapo hata kimoja.

Vyote uzushi mtupu!

Au huo uzushi ndo mafanikio?

If anything aliyefanikiwa ni mimi and I know why.....
No no no Nkya, hujanisoma, ninamaanisha kuwa alilokusudia yeye amelifikisha bila kujali uhalisia wake.
Jf huwa naona ni kijiwe cha kupigia soga zisizo na ukweli.
Huna haja ya kutumia nguvu kubwa mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…