Khaaaaaa na wwHaaahaaa kabisaa
kwi kwi mtu mwenyewe kazaliwa ikulyagambashi ushamba hautomuisha kamwe
Sio wewe[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] waleeee!!Kwendraaaaa uko nani mzungu sasa kwa mumewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] lala tyyuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Labda wasiokujuwa acha nilale mie
Moddsss weweeAchana nae huyu wit chizi huyo uji umemlevya
Ungenitag ujue yaani nasoma huku nasinziaModdsss wewee
Pole sanaa my dear loohhUngenitag ujue yaani nasoma huku nasinzia
Asante mamiiPole sanaa my dear loohh
bro hii ni chitchat na je kama yote haya wana fake kwasabb humu ni chitchat? @moderators msifunge uzi huuSihusiki na huu uzi ila naumia sana.... Tukumbuke kuna maisha baada ya hapa na nje ya JF.... Mbaya zaidi maandishi hayafutiki... Kuna siku maandishi haya haya yatakuja kugeuka fimbo mbaya hata kwa hawa wapambe wanaochochea mgogoro... RRONDO kakimbia ila angerudi tupambane uzi uondolewe... Tusiifanye CHITCHAT sehemu ya kuogopwa na JF isitumike kama bakora ya kuchapana kwenye maswala private nje ya jukwaa
Teh teh
Jingine jipya hilo!
Nimezaliwa wapi?
Hahahahahaaa pure hilarity.
Usilale shost.... Huu uzi tuhakikishe umefungwa![emoji23] [emoji23] [emoji23] lala tyyuuu
Hebu tuwaite hawa waje wafunge huu uzi daaaah!Moddsss wewee
Nenda Kijijini Kwenu,unaweza kuzaliwa ocean road ila ugamboshi upo kwenye damu hautokagi
Kuna watu wanasononeka huku Gen...Tenaaaa[emoji23] [emoji23] umeomba pooo
Naona yamerejuvinate upyaaa hayaa!!!loohUsilale shost.... Huu uzi tuhakikishe umefungwa!
Best yangu RRONDO hajisikii vizuri, anaonekana kama yy alifanya hichi kitu ili watu wajeruhiane! Kwa upande wangu mi nilikuwa natania sasa sijajua kwa SHAMMA!
Kasononeka sana asee! Nami sipendi kumfanya mtu ajisikie vibaya kwa sababu yangu
Cc. SHAMMA, Mzigua90