Yuko wapi Sakina Datoo?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Ni kitambo sasa sijamsikia, or rather hatujamsikia. Allivuma sana enzi za Misa Tan na uhariri Gurdian na jukwaa la wahariri, sasa hatumsikii tena. Kipindi anasikika sana alikuwa na vyeo hapa na pale. Kadhalika alikuwa sambamba na kina Nevil Meena, Ayoub Riyoba na wengine. Bado tunawasikia hao ila huyu mama machachari hatumsikii tena. Tujulisheni alipo na anafanya nini. Harakati bado zinamhitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…