Kama kipindi cha wizara ganiAnatengeza vipind vya kwenye wizara mbali mbali
Mara ya mwisho nilimwona Cha wizara ya ujenzi
hahahahaAlipotea baada ya kutajwa na konki master
Alipotea baada ya kutajwa na konki master
Huyu Konki Masta mwenyewe yuko wapi siku hizi? Diamond nae ni mtu wa fursa, alimbeba kila kona kupiga mashoo
Umekuja kujifafanua.... Asante na hongeraHongera! Uzi mzuri sana.