Yuko wapi Sioi Sumary aliekuwa mkwe wa marehemu Lowassa?

Maharo

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
3,312
Reaction score
2,303
Wasalamu

Kama uzi unavyouliza yuko wapi huyu bwana sioi sumary mkwe wa marehemu lowassa maana siku hizi haonekani na wala kwenye msiba wa mkwewe sikumuona kwenye familia ya wafiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…