elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
huyu legendary yuko wapi maana sijamsikia mwaka huu..
Jamaa anajua ile ngoma yake ya 2012 ya miss Tanzania mpaka leo naisikiliza naiona kama mpya.
Achilia mbali zile ngoma zake za zamani ile album aliyomshirikisha karibia kila nyimbo qchief.
Yani jana nimejikuta nasikiliza nyimbo zake huyu jamaa nikaona kweli nyimbo za zama hizi za akina mond ni takataka sema tu ni muda kila zama na kitabu chakeBro leo naona umeamua kuamka na ulamaa.. haya tuwekee na mambo ya pwani remix sasa twende pamoja na legendary
Huna lolote,sema tu unapapenda pale anaposema'mtoto Ana kijungu masala'Solo thang wimbo wa miss Tanzania ameimba mafumbo matamu sana na ule ndio muziki sio mapenzi ya mond
Miss Tanzania naufananisha na wa Roma ule wa Tanzania naona wote wanaikemea serikali
HujajitambuaHuna lolote,sema tu unapapenda pale anaposema'mtoto Ana kijungu masala'
Literature iliyotukukaMiss Tanzania bonge la literature
Utakua ww makumbusho mwenzie ana uraia wa UKAtakuwa makumbusho