Anaitwa Lucy Kihwele, zamani akijulikana kama Tabasamu Ngongoseko. NI mdada wa heshima sana kuliko mamiss wengi waliowahi kupitia fani hiyo. Ameshaondoka Multichoice baada ya kufanya kazi nzuri kuitangaza Tanzania na akahamia Standard Chartered Bank akaungana na Hoyce Temu katika Idara moja ya uhusiano pale, lakini Hoyce akapata shavu shirika moja la kimataifa hapa Dar idara ya uhusiano, so amemuacha Lucy Kihwele peke yake pale. Ni mchapakazi sana maana tangu aondoke Multichoice sasa kampuni hiyo inafifia taratibu na inaanza kutokusikika tena. Umeridhika mkuu au una maswali zaidi??