Huyu naye yupo wapi jamaniMr Paul
Nje...Huyu naye yupo wapi jamani
Alikuwa na sauti flan ya kigentleman
Mid 2000?Bonge moja ya Zouk.
Hivi sasa nasonga mbele,
maisha yangu bila ya wewe,
nawaachia hao wenzangu,
kuwa vifaranga vya kuku,
mbele yako ewe bwana mwewe!
Mid-2000s duh
Aise nioe sasa!
MzanzibarAisee hivi alikuwa .mbongo yule.
Hahaha. Nimeelewa swali lako. Hivi Mid 2000 ni 2500, right?Mid 2000?
Huyu naye yupo wapi jamani
Alikuwa na sauti flan ya kigentleman
Those days.....Hivi sasa nasonga mbeleee maisha yangu bila ya weweee, nawaachia hao wenzangu.........
Ule wimbo wa,Nameless "Sinzia" umesimama vizuri sana.Kuna kipindi wanamuziki wa Kenya walikuwa wanasikilizwa sana Tanzania. Wakina V2, Nonini, Nyota Ndogo, Wire, Nazizi, Nameless etc. Lakini sasa muziki wa Kenya sijui umepatwa na nini!
AustraliaHuyu naye yupo wapi jamani
Alikuwa na sauti flan ya kigentleman
Hata mziki wao ulikua mzuri sana kipindi kile, nowdays wameshukaKuna kipindi wanamuziki wa Kenya walikuwa wanasikilizwa sana Tanzania. Wakina V2, Nonini, Nyota Ndogo, Wire, Nazizi, Nameless etc. Lakini sasa muziki wa Kenya sijui umepatwa na nini!
Yuko AustraliaHuyu naye yupo wapi jamani
Alikuwa na sauti flan ya kigentleman
Ulimuua weweAlifariki mbona kitambo sn