666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,700
- 3,921
Kipindi cha nyuma kituo cha televisheni cha ITV kilikua kikirusha majadiliano ya wasomi wetu toka shule na taasisi mbali mbali za elimu ya juu, na tangazo kubwa la kipindi iki na lilikokua maarufu sana mwanzoni mwa miaka ya elf mbili, lilikua na jamaa aliekua anasema hivi:
"Umezaliwa Tanzania, umekulia Tanzania, ukasomea Tanzania, ukafanyia kazi Tanzania, wewe umepoteza muda wako wa maisha"
Naam, najua mtakua tu mmemkumbuka huyu jamaa, sasa ningependa kujua kama aliwai kufika tu ata Burundi au Kenya! Je yuko wapi Huyu?
Hii kauli mnaionaje wadau bado ina matter?
Najua miaka hii ya elf mbili kuja juu mambo ya video na TV hayakua makubwa kiasi icho, wengi walikwishaona au kuskia tangazo ilo maarufu.
"Umezaliwa Tanzania, umekulia Tanzania, ukasomea Tanzania, ukafanyia kazi Tanzania, wewe umepoteza muda wako wa maisha"
Naam, najua mtakua tu mmemkumbuka huyu jamaa, sasa ningependa kujua kama aliwai kufika tu ata Burundi au Kenya! Je yuko wapi Huyu?
Hii kauli mnaionaje wadau bado ina matter?
Najua miaka hii ya elf mbili kuja juu mambo ya video na TV hayakua makubwa kiasi icho, wengi walikwishaona au kuskia tangazo ilo maarufu.