The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mzuqa wanajamvi!
Yule contractor aliyeuwawa na waandamanaji na vikundi uchwara vya kigaidi vyenye vimelea na Hezbollah na Iran katika ubalozi wa Marekani Baghdad na ambaye kifo chake kinaweza sababisha WW3. nchini Iraq alikuwa Mmarekani Muiraq ambaye alipata uraia wa Marekani mwaka wa 2017.
Ikumbukwe kifo chake Nawaz Waleed Hamid 33, kilimuuma sana Trump hadi akachukua uamuzi wa kijasiri kwa kumdondoshea vitu vizito vyenye ncha butu vikigusa ardhi tu vinalipuka paaah na kuacha devastating impact na kumlambisha mchanga Braza Qassim Solemani.
Ironically huyo contractor alikuwa Muislam kutoka madhehebu ya Shia ambaye Trump ilimuuma akamlipizia kisasi. Kaacha mjane na watoto ambaye anasema bado haamini mumewe kauwawa.
Contractor kazikwa katika makaburi ya Waislam California.
Soma zaidi linki hapo chini
www.dailymail.co.uk
Yule contractor aliyeuwawa na waandamanaji na vikundi uchwara vya kigaidi vyenye vimelea na Hezbollah na Iran katika ubalozi wa Marekani Baghdad na ambaye kifo chake kinaweza sababisha WW3. nchini Iraq alikuwa Mmarekani Muiraq ambaye alipata uraia wa Marekani mwaka wa 2017.
Ikumbukwe kifo chake Nawaz Waleed Hamid 33, kilimuuma sana Trump hadi akachukua uamuzi wa kijasiri kwa kumdondoshea vitu vizito vyenye ncha butu vikigusa ardhi tu vinalipuka paaah na kuacha devastating impact na kumlambisha mchanga Braza Qassim Solemani.
Ironically huyo contractor alikuwa Muislam kutoka madhehebu ya Shia ambaye Trump ilimuuma akamlipizia kisasi. Kaacha mjane na watoto ambaye anasema bado haamini mumewe kauwawa.
Contractor kazikwa katika makaburi ya Waislam California.
Soma zaidi linki hapo chini
PICTURED: U.S. military contractor whose death could spark WW3
Nawres Waleed Hamid, pictured, was killed last month at a military base in Iraq where he worked as a linguist. He was born in Iraq and became a naturalized US citizen in 2017.