Yule dada wa kumfumania dada yake na mumewe kanywa sumu

<p>aache umbea,ziraili tu alikuwa na hamu nae kabla hajatubu hiyo dhambi ya aibu!lipaswa ajiue immediately baada ya kulala na shemeji yake,tena bila dawa ya penzi!mie mdogo wangu akitembea na mume wangu nitamuwashia moto coz ameniaibisha mm na familia yetu yoote!
</p>
<p>&lt;p&gt; &lt;/p&gt;</p>
<p>&lt;p&gt;&amp;nbsp;&lt;/p&gt;</p>
 
Duh haya ndio yale yasiyovumilika mweee! hawa ndugu zetu tunawapenda lakini.....?

Uzuri mmewe alikuwa anammega nduguye.
Hii ndo raha ya kula na nduguyo.
 
Mtu akipata tatizo na kufikia uamuzi wa kunmywa sumu.... halina mjadala, ni mental case!!!!
 
mie ningebanana hapo hapo,mpaka anautoa ujauzito.....unajiua unawaachia nafasi waendelee ufuska wao,nani kasema nyani anasusiwa shamba???mnh:crying::frusty:
 
Labda ana sababu ingine ya kujiua, siyo hiyo ambayo walisha izungumza wakayamaliza

Hahahah, mie naona wewe ni akili yako nusu. Swala kama hili hata kusawazishaje, kidonda kinabaki pale pale. Na ukizingatia lengine limekuja. Na hao jamaa punguani vile vile wakamshauri arudi kwa yule mumewe, mie ningeua wote wawili, wapotee machoni mwangi, shenziiiiii
 
mie ningebanana hapo hapo,mpaka anautoa ujauzito.....unajiua unawaachia nafasi waendelee ufuska wao,nani kasema nyani anasusiwa shamba???mnh:crying::frusty:

Inavo onesha haujui maumivu ya moyo wewe........ haujaumizwa wewe, ungetamani kufa kuliko kuishi na washenzi kama hao. Na ukizingatia watu wako wa karibu sana unao wategemea wanakuzunguka,,, bora angeachana nae atafute mume mwengine, hao washenzi wapate uhuru waendele ufuska wao
 
Mie ningedai talaka yangu, na undugu na huyo dada angu ungeisha. Huu ni unyama si ubinadam kabisa. Na hao wazee wake hawana busara kabisa kumshauri . Wangemchapa bakora hilo lishangingi malaya, laiba mpaka mume wa mdogo wake, hata aibu hana, na huyo jamaa hastairi kuwa na mke. Mshenziiiiii
 
Sisi kama spectators tutakuja na theory zote. Kwa nini hakufikiria?, mjinga, angedai talaka etc. Ila jibu analo mwenyewe. Na ukitaka kujua uzuri wa ngoma ingie ucheze.

La kwanza alisamehe. Na la pili limemkatisha tamaa na kumvunja nguvu ghafla. Akaona bora kufa kuliko kuishi na machungu maisha yote. Maana huyo mtoto atamuona tu, hata kama akiachana na huyo jamaa. Uanadam kazi kweli kweli
 
jamani dada huyo aliyekunywa sumu pole yake dada yake ndiye kiazi kweli
 
starehe wafanye wao kufa afe yeye ujinga huo, akinywa sumu huyo mwanaume atapungua nini? zaidi atatoa nafasi kwa mdogoye kufaidi bila bingamizi ebo!!
 
Huyo dada mtu nae Chizi, wanaume wako kibao nje ya nini mume wa mdogo wako? Janaume nalo Chele tuu kuna dada poa wa kumwaga kama vipi bora ufumaniwe huko kuliko home....Mechi za nje ukifumaniwa yataisha tu lkn za humo humo ndani? Mahausi geli na ndugu? mhhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…