Yule kijana anayejiita Rais Magufuli kwa kuigiza sauti ya Rais anaboa

Yule kijana anayejiita Rais Magufuli kwa kuigiza sauti ya Rais anaboa

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Yule kijana anaejiita rais Magufuli kwa kwa kuigiza sauti ya Rais JPJM anaboa pale anapomaliza kuhutubia na kuanza kuchomoa hela hela watu kitu ambacho Rais Magufuli hafanyi hivyo kabisa.

Nadhani kama anataka kuendelea kumuigiza Rais wetu aache kudai hela viongozi ambao hawakujiandaa kuchomolewa hela. Anaweza kumuabisha kiongozi ambaye hajajiandaa kutoa hela ya kijinga Kwa njia Ile.
 
Huo ni usanii tu. Hivi unaweza kuwa msanii kwa kumuiga (kwa mfano) msanii Joti?
 
Mimi Sandali wa Nantupa Newala, napenda kutuma salamu kwa Njaidi, Maujudi na Kanjweba wa Mahuta Shimoni.
Ujumbe, mpende akupendae...
 
Yule kijana anaejiita rais Magufuli kwa kwa kuigiza sauti ya Rais JPJM anaboa pale anapomaliza kuhutubia na kuanza kuchomoa hela hela watu kitu ambacho Rais Magufuli hafanyi hivyo kabisa.

Nadhani kama anataka kuendelea kumuigiza Rais wetu aache kudai hela viongozi ambao hawakujiandaa kuchomolewa hela. Anaweza kumuabisha kiongozi ambaye hajajiandaa kutoa hela ya kijinga Kwa njia Ile.
Acha wivu kijana, matatizo yako hayawezi kumwalizwa kwa kuwawekea kauzibe watu wengine...
 
Ujumbe wako tumeupata, Ila njia uliyoitumia sasa kufikisha ujumbe. Jiandae kwa lolote.
 
Yule kijana anaejiita rais Magufuli kwa kwa kuigiza sauti ya Rais JPJM anaboa pale anapomaliza kuhutubia na kuanza kuchomoa hela hela watu kitu ambacho Rais Magufuli hafanyi hivyo kabisa.

Nadhani kama anataka kuendelea kumuigiza Rais wetu aache kudai hela viongozi ambao hawakujiandaa kuchomolewa hela. Anaweza kumuabisha kiongozi ambaye hajajiandaa kutoa hela ya kijinga Kwa njia Ile.
Wasakatonge
 
Back
Top Bottom