Environmental Security
Senior Member
- May 21, 2020
- 181
- 261
Ili kuwahudumia wanawake kuwaletea maendeleo na kutatua changamoto zao ipasavyo, viti maalum mkoa wa dodoma vinamfaa sanamwanamke wa nguvu achukue form ya jimbo bana.
hebu picha yake kwanza.Ili kuwahudumia wanawake kuwaletea maendeleo na kutatua changamoto zao ipasavyo, viti maalum mkoa wa dodoma vinamfaa sana
Sie tunaomuunga mkono tunalijua sana hilo (walimsihi hatimaye karidhia. Tulimtarajia hatimaye leo tumejionea wito wetu sio bure kwasasa atarajie kura zetu za kishindo)
ahsante mamaHatimaye malkia wa nguvu SELLA JASTON MKISI leo ameridhia wito wa wanawake dodoma kumtaka awawakilishe kwa nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoa wa dodoma baada ya kumsihi kutokana na harakati zake za kuihudumia jamii ndani ya dodoma pamoja na kukijenga chama kwa muda mrefu
Piga kazi mama, chama kinakujua na wanawake wanakuamini sasa ni zamu ya kuhudumia wanawake wa mkoa mzima
CCM imara
bila picha inakua sio poa aiseeHatimaye malkia wa nguvu SELLA JASTON MKISI leo ameridhia wito wa wanawake dodoma kumtaka awawakilishe kwa nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoa wa dodoma baada ya kumsihi kutokana na harakati zake za kuihudumia jamii ndani ya dodoma pamoja na kukijenga chama kwa muda mrefu
Piga kazi mama, chama kinakujua na wanawake wanakuamini sasa ni zamu ya kuhudumia wanawake wa mkoa mzima
CCM imara