Yule mlokole akaniletea kidamisi…………!

Kumbeee...............hapa sina mtoto, yaani unajua mbinu zote hizo................!
Hhahahhaha,pole baba siku hizi tupo kidigital zaidi,
Vijana wa kisasa anapokusaliamia anasubiri tu jibu ili ajue namna ya kukutia mkonon ukijibu kisela naye anaendeleza ivo ivo,ukisema bwa asifiwe utasikia amina dada habari ya uzima yaani huwa wanakua weshajipanga mbaya!!!
 
Hahahahahahaa nadhani hii itakua one of my favourate threads nilizowahi kusoma hapa jf, imenichekesha to the max! Asante
 
Unajua Da, AshaDii, uso umeumbwa na haya, we DCM zima linakukodolea macho na kukuzomea, hata kama ukijitia hamnazo, lakini ni lazima utajisikia fedheha......................
ha ha ha ha ha ha................, yani sina mbavu babaangu, nikitoka naenda kumwambia mama.
 
Unajua Da, AshaDii, uso umeumbwa na haya, we DCM zima linakukodolea macho na kukuzomea, hata kama ukijitia hamnazo, lakini ni lazima utajisikia fedheha......................
ha ha ha ha ha......... nikitoka naenda kumwambia mama.
 
ungejtambulisha mimi ni nabii na mtume .............................................
 
Mstari mmoja tu ungemmaliza! "nimekupenda kwa jina la Yesu"!
 
kumbe hiyo ndo gia ya kuwaingia? bas nami nitaitumia
 
uanniuzi we kila sehemu hufanikiwi tuuu!? kwanini hujawai sema ulikofanikiwa bwana wewe hadithi zako mwishoni ni aibu tuu!
 
hahahahaaah!!! Mtambuzi bwana, mbona hukuwa na ujasiri wa kuendelea na safari??
 
Nikasema nashukuru sana, ‘za kazi?’ Alijibu kwamba, kwa uwezo wa Bwana ni nzuri. Hilo neno ‘Bwana’ sikulizingatia. Najuta ni kwa nini sikulipigia mstari.

Ndo nimeanza kusoma, nipo hapo, nimecheka hadi basi.., Mkuu unatisha, Ngoja niendelee ntacoment baadaye..!
 
Sina mbavu jamani, looh! Wanaume ndo mjifunze kutoparamia kila mwanamke apitae mbele yako. Ntampa my wife iyo technique
 
Yule binti alicharuka zaidi wakati nashuka kwenye basi kwa kudai kwamba, nilikuwa nimeshindwa. 'Ameshindwa Ibilisi, ameshindwa kwa nguvu za Bwana, anaona aibu.'

Hahahahahahaaa., what a transformation, toka Gustave to Ibilisi, duh.. :scared:


Mstari mmoja tu ungemmaliza! "nimekupenda kwa jina la Yesu"!

Hapo still angeharibu, Walokole hutumia huu mstari, "Nimefunuliwa kuwa wewe ndo utakuwa mke wangu" hapo hata Binti wa mchungaji unabeba..!
 
yaani mkuu wakati naisoma hii thread yako nlitaka nkuulize hivi konda alifanya kimbwanga gani maana hawa watu kwa kurukia mambo hawajambo kabisa ila imejijibu yenyewe.pia nlitaka kukuuliza vp umbali wa safari c uliona karibia nusu cku ila kwa bahat ulifanya uamuz wa kushuka migo.dah pole sna nadhan ucku ulikua ukilala maneno ya yule dada na movie nzima ulikua ukiiwaza.
 
Ila mkuu noma, hata siku ya kwanza tuu kwenye gari unatupia sera! Duh
 

Nimecheka mpaka basi, wewe ni mwehu, stori inachekesha mbaya kabisa kama nakuona vile.. Sijui kwa nini haukushindwa na kulegea kuileta hapa, by the way nashukuru sana kwa kuniongezea siku zangu za kuishi.
 
yap unge anza na bwana asifiwe ungewini mkuu,labda pia ungemuomba akuonyeshe pale anapoabudia na wewe pia utie timu pale siku moja kuabudu.ungemega kilaiini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…