MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Wachaga bhana!Mkuu wa mkoa wa Dar amerekodiwa akipewa mikono na baadhi ya wananchi sijui sehemu gani lakini kwa jinsi mazingira yalivyo ni maeneo ya Moshi, ukiangalia watu walioandaliwa kujifanya wanalia na kumpa pole UTAGUNDUA binadamu akizoea kuabudiwa anaweza kufanya lolote ilimradi tu aonekane shujaa..
Anataka kumwambia Katibu mkuu hakupaswa kuomba msamaha
Anataka kuwaaminisha Watanzania yupo sahihi na anapendwa kumbe werevu wanatambua kuwa ukikosea unachotakiwa ni kuomba msamaha tu Basi.
MADARAKA YA KULEVYA
Hi ndio Aina ya viongozi tulionao kwa sasa wanaotaka tufike salama katika uchumi wa Kati.?
kwahiyo hadi katibu mkuu wa ccm ni zuzu,...hapo vijana wa Lumumba ndo mnapopotea kumnyanyua mtu kuliko misingi ya chamaHivi kumbe hata Moshi kuna mazuzu?
Acheni Makonda afanye kazi! Yani hii siku moja tu kashaandaa watu?
Wivu ni mbaya sana
Mwanadamu ukimpa hela anaweza kufamya chochote. Haijalishi ni Mchaga au Myahudi.Hivi kumbe hata Moshi kuna mazuzu?
Acheni Makonda afanye kazi! Yani hii siku moja tu kashaandaa watu?
Wivu ni mbaya sana
Muwe na shukurani kidogo,huyo mnaemuandama ndie huyo huyo aliyefanikisha zoezi zima la kumpokea mwendazake!!Mkuu wa mkoa wa Dar amerekodiwa akipewa mikono na baadhi ya wananchi sijui sehemu gani lakini kwa jinsi mazingira yalivyo ni maeneo ya Moshi, ukiangalia watu walioandaliwa kujifanya wanalia na kumpa pole UTAGUNDUA binadamu akizoea kuabudiwa anaweza kufanya lolote ilimradi tu aonekane shujaa..
Anataka kumwambia Katibu mkuu hakupaswa kuomba msamaha
Anataka kuwaaminisha Watanzania yupo sahihi na anapendwa kumbe werevu wanatambua kuwa ukikosea unachotakiwa ni kuomba msamaha tu Basi.
MADARAKA YA KULEVYA
Hi ndio Aina ya viongozi tulionao kwa sasa wanaotaka tufike salama katika uchumi wa Kati.?
Wewe ni mpuuzi,unafaa kupuuzwa. Unamaanisha bila yeye zoezi lisingefanikiwa!?Muwe na shukurani kidogo,huyo mnaemuandama ndie huyo huyo aliyefanikisha zoezi zima la kumpokea mwendazake!!
Acha ujinga,hata kama asingekuwawepo ingewezekana ndio,lakini alitimiza wajibu wake kwa hali na kiwango cha juu sana.Wewe ni mpuuzi,unafaa kupuuzwa. Unamaanisha bila yeye zoezi lisingefanikiwa!?
Mwabudu Mungu bibie.
RubbishMkuu wa mkoa wa Dar amerekodiwa akipewa mikono na baadhi ya wananchi sijui sehemu gani lakini kwa jinsi mazingira yalivyo ni maeneo ya Moshi, ukiangalia watu walioandaliwa kujifanya wanalia na kumpa pole UTAGUNDUA binadamu akizoea kuabudiwa anaweza kufanya lolote ilimradi tu aonekane shujaa..
Anataka kumwambia Katibu mkuu hakupaswa kuomba msamaha
Anataka kuwaaminisha Watanzania yupo sahihi na anapendwa kumbe werevu wanatambua kuwa ukikosea unachotakiwa ni kuomba msamaha tu Basi.
MADARAKA YA KULEVYA
Hi ndio Aina ya viongozi tulionao kwa sasa wanaotaka tufike salama katika uchumi wa Kati.?