Yule Mtoto wa Ghana Jake Amo sasa kakua, je ataendelea kutaniwa?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Heshima kwenu wakuu,

Kuna huyu mtoto ambaye anapendwa kutaniwa na kulishwa maneno kwenye picha yake sasa kakua.

Huyu ni mtoto wa huko Ghana, picha ya kwanza inayosambaa, alipigwa wakati alipienda kwa mara ya kwanza kwenye shule ya kujifunza kuchora kijijini kwao.

Hiyo picha ilisambaa dunia nzima ikionesha akiandika. Inasemekana ndiye alikuwa mdogo kwenye hilo Darasa. Ilipigwa 2015 kipindi hicho Jake akiwa na miaka minne.


 
Maisha yakiwa magumu anaomba fidia tu kwenye mitandao yote iliyo husika na usambazaji wa picha hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…