hivi kwani wataenda kucheza egypt? nawashauri Yanga wasiende labda kama wanaenda kukipiga nchi nyingineWaende naye huyo babu kule Egypt, watarudisha mavazi tu!
Wagongwe? Yaani wachezaji wote wagongwe! Ki vipi sasa! wakiwa wanatembea barabarani ama! sielewi wnagongwa mura!!!!!!!!!!!!!misri lazima wagongwe mura!
Mkuu Misri Lazima waende, Zamalek walikuja Dar kutoa POSA TU, kule ndio NDOA yenyewe...............najua unazungumzia kuhusu yae machafuko...........imegundulika yaligubikwa kisiasa zaidi na ile mechi ilishachezwa na Ligi ya Huko Karibu Inaanza.........Labda Yanga waweke hoja ya pingamizi kwa minajili ya kujinusuru tu!!!!!!.........hivi kwani wataenda kucheza egypt? nawashauri Yanga wasiende labda kama wanaenda kukipiga nchi nyingine
Ndiyo maana sipendi mpira wa Tanzania. Huwezi kuwa na akili timamu ukapenda mpira wa Tanzania. We mpira gani usio na akili, jiulizeni toka Simba na Yanga wameeanza kutumia uchawi badala ya vipaji wamechuma nini Africa Kama si kuambulia mayai viza kila kukicha. Wachezaji wa Simba na Yanga wanaroga mpaka kocha ili wapangwe? Mpira si uchawi kamwe bali ni kipaji. Watanzania hamkeni jamani.
Waende naye huyo babu kule Egypt, watarudisha mavazi tu!