MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Naam ndg zangu katika Imaaan.
Japo kuwa alionekana kama mtu wa ajabu lakini gwiji ĺile la siasa za Chadema alisema masaa machache tu baada ya Zanzibar kusaini mktaba wa kujiunga na IOC ,waarabu wataanza kumwaga matrilioni ya shilingi tayari kuanza ujenzi mpya wa bandari kubwa duniani ambayo itakuwa pande za Unguja.
Wakuu hili suala mbona kama limekaa vizuri sana kwa kila upande, itikadi, chama na hata dini.
Maendeleo kwanza mambo mengine baadae.
Japo kuwa alionekana kama mtu wa ajabu lakini gwiji ĺile la siasa za Chadema alisema masaa machache tu baada ya Zanzibar kusaini mktaba wa kujiunga na IOC ,waarabu wataanza kumwaga matrilioni ya shilingi tayari kuanza ujenzi mpya wa bandari kubwa duniani ambayo itakuwa pande za Unguja.
Wakuu hili suala mbona kama limekaa vizuri sana kwa kila upande, itikadi, chama na hata dini.
Maendeleo kwanza mambo mengine baadae.