Yule ni "damu yangu" kabisa . . .

DNA ninavyoona ni advanced kwa kuwa before mababu zetu walikuwa wanatumia sana hata alama za viganjani pamoja na damu i mean blood group lakini siku hizi naona baada ya science and technology kuwa juu DAN naon ni bora zaidi na inauhakika zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…