Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Ila ulimkomesha vizuri, akapambane na watu wa Buza sasaSikutaka kumdhuru nilitaka tu kumpa usumbufu kama alionipa mimi[emoji2]
Kwenye hatari mzee anapona kabisa pressure yakeUngemfunga kisha ukatumia njia nyingine ya usafiri. Watu wanatembea na magonjwa roho mkononi mshtuko kidogo unaweza leta stroke au kifo kabisa. Ss imagine kizee cha watu kimekaa na mawazo yake ya kesho atakula nn ghafla anashangaa paka anaruka miguuni huku akilia.
Haaa haa ila unahatari sana, kwanza hiyo business plan yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]namuona hapa
Hahaha.Kwenye hatari mzee anapona kabisa pressure yake
[emoji23][emoji23][emoji23] ndiyo vizuri hakuna kuuaSiku hizi siuwi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye hatari wadhaifu ndiyo huwa wakwanza kukimbia, kuna siku kipanya (gari) kilishika moto ilishika moto mtu wakwanza kutoka alikuwa bonge la mama huwezi amini, tulipotoka tulishangaa nakucheka eti mlizani mtanipita weee?Hahaha.
Reaction ya mwili kwenye hatari inatofautiana. Still bado haiondoi uwezekano wa mtu kushtuka na kupata tatizo pale anaposhtuliwa ghafla.Kwenye hatari wadhaifu ndiyo huwa wakwanza kukimbia, kuna siku kipanya (gari) kilishika moto ilishika moto mtu wakwanza kutoka alikuwa bonge la mama huwezi amini, tulipotoka tulishangaa nakucheka eti mlizani mtanipita weee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye hatari wadhaifu ndiyo huwa wakwanza kukimbia, kuna siku kipanya (gari) kilishika moto ilishika moto mtu wakwanza kutoka alikuwa bonge la mama huwezi amini, tulipotoka tulishangaa nakucheka eti mlizani mtanipita weee?
Huyo nyau aliwachangamsha humoReaction ya mwili kwenye hatari inatofautiana. Still bado haiondoi uwezekano wa mtu kushtuka na kupata tatizo pale anaposhtuliwa ghafla.
Hua huna akili ya kuwaza vitu vya aina hiyo wewe,unachokitanguliza mbele ni kutafuta sifa za kijinga na kuwaaminisha watu wako eti wewe ni mchawi! cha ajabu katika karne hii nao wanakuamini kwa mambo yakufikirika tu!For this i need to apologize...Sikuwaza haya..Thanks sana[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Something like that.Nadhani ufahamu huchagua cha muhimu kwanza, maumivu au mshtuko...!!!
Nimevutiwa na tittle nikajua wewe ndo paka mwenyeweKwa mara tatu mfululizo kuna paka amekuwa akiingia kwenye stoo yangu nyumbani kupitia dirisha dogo lisilo na shutter na kujisaidia mlangoni
Yani siku inafuata ukifungua mlango wa store unakutana na mzigo na unanuka mbaya...
Last week ijumaa kuamkia Jumamosi nikategesha kipande cha nyama kilochokuwa na dozi ya vidonge viwili vya vallium, mshkaji akaingia mtegoni kwa kukifakamia chote kile kinyama
Nilidamka Jumamosi asubuhi na kumkuta kalala fofofo anaota ndoto kama anafanya matusi kwakuwa miguu ya nyuma ilikuwa inachezacheza kushoto kulia
Nikakuchua mfuko mdogo wa sandarusi na kumviringa humo ,kisha nikachukua mfuko mwingine mkubwa kidogo hii ya mia tano ya kuwekea bidhaa nikamtia humo na kuwahi kituo cha basi
Kufika kituoni nikachagua gari lenye abiria wachache...nikaenda mpaka siti ya nyuma kabisa na kuufutika mzigo wangu chini ya siti...baada ya kama vituo vitatu nikashuka na kuacha mzigo wangu upate free ride..
Kumbe kufika mbezi ile coaster ikapata tenda ya kupeleka watu Buza kwenye shughuli...kelele za ngoma na mizuka ya abiria ndio vilimuasha toka kwenye usingizi mzito mitaa ya Davis corner
Ile purukushani ya kutaka kutoka kwenye gereza asilolijua akajikuta yuko chini ya utupu wa mdada aliyekuwa kavaa dera tu kakanyagia siti anatingisha makalio ...Patashika lililotokea baada ya hapo limeacha simulizi kubwa Temeke
Uhalisia ni kwamba yule paka ni Mimi ndio nilimuweka akapotelee mbali baada ya kunisumbua nyumbani kwangu na wala sio wa kichawi aliyetumwa kuvuruga shughuli ya watu