Buck is a bia bia.....hahahahahaaaa....watu wanajifanya wagumu kumbe hamna lolote....ahahahahahaaaa
Ebanae sikubaliani na Fif kuleak hii kitu lakini dayuum!!! Buck naye amechemsha...I understand kila mtu ana emotions and all that lakini duh hii ilikuwa ni kupita kiasi especially baada ya kumdiss....
Anahitaji come back kubwa sana atafute ghostwriter
Hipo hop inakuwa mipasho-lelemama kama taarab.
Halafu tunataka kuwalinganisha hawa jokers na legends!
Kwa hiyo unasema kwenye taarab hakuna vipaji?
Mi nimependa kamstari haka tu If real nigger cry then its real pain. Jamaa aliimba kwa huzuni na uchungu kama utafuatilia.Hivi kwanini asimtafute The Game akauomba msamaha wakatoa kitu cha ajabu?