Yupi anafaa kua mume...Ushauri plz


aaaah kumbe na ww mwenyewe hovyoooooooooooo Masters yako inakusaidia kupata mshahara tu na-kuhudhuria visemina, sasa kama ulikuwa unajua ubakie single ya nn kuleta uzi humu JF!!kanunue vile vifaa vya kujiridhisha mwenyewe Kinondoni basi ndio iwe mumeo naona unatuzingua tu!!
 
sikuwahi kumuomba mwanaume hela au vitu kama vocha. Kaka huyu hunitumia vocha kila siku
.......Hajawahi kunipa chochote kama zawadi au hela hata vocha ya 500.


mmmh, masuala ya vocha nayo huwa yanaongeza points kwenye uhusiano kumbe..
 
mmmh, masuala ya vocha nayo huwa yanaongeza points kwenye uhusiano kumbe..
Yule utakayepewa na mungu wako. na asiye na doa wala kaba mwilini. take care naona haujazungumzia life kama mipanago ya baadae, mahusionao na nduguze na rafikize.
 

harakaraharaka timiza hayo uloandika hapo kwenye red, wote hawakufai dear

usiwe na mtu kwa kumuonea huruma au eti kwa sababu anakucare sana kwani wewe huwezi kujihudumia, unatakiwa umpende kwanza mtu ndo utaona raha ya kuwa nae huyo wa ofisi utaaaaajuuuuuuuuuuuuta kuwa hapo ofisini very soon soon anaweza kuwa na mwingine hapohapo sipati picha situation utakayo kuwa nayo
 
Umeeleza vyema lakini hajaainisha mapungufu uliyonayo, yawezekana mwenzio ameyaona ila anayavumilia, kwanza una uhakika gani mdomo wa kwako haunuki? Je una Sura,sifa na tabia za kumpata mwanaume unayemtaka, wenye hizo sifa tupo ila kabla haujaja kwangu uwe na sifa zifuatazo:-, uwe na rangi ya chokulate ambayo ni angavu na laini, uwe na uso wa duara usiwe mpana, usiwe na mfupi sana, uwe na umbo linaloeleweka (shape), uwe na nywele ndefu zisiwe fupi, usiwe mwembamba sana na vile vile usiwe na mwili wa kunenepa sana, uwe na hips na makalio kiasi sio makubwa sana, uwe na miguu ya kuweza kuvua nguo fupi, usiwe na mdomo mkubwa, usiwe na chunusi usoni, usiwe unahema kwa kishindo(bad breadth), uwe na maziwa mazuri sio ya kutumia jeki, uwe msafi wa ndani na nje, uwe na sehemu za siri ambazo zinabana zisiwe kubwa sana nakutoa maji mengi au kunuka, usiwe na kichwa au maziwa makubwa, usiwe na sauti ya mkwaruzo au kali sana, mkarimu lakini si wa kutawala mazungumzo mbele ya rafiki zangu, usiwe mbishi uwe mwelewa, uwe unajua kupika na kutoa ushirikiano tukiwa faragha, uwe wa kuvua chupi nyeupi au pick na sio nzeusi. Kama una hizo sifa ni PM
 
najiamini..nitampata, ila wewe siwezi kwa sababu
mie ni mweupe, japo sio sana ila sio chocolate colour. Pia sura yangu ni ya duara and i think ni pana
 
am a man! 2najijua ma cta! Huyo wa mwz ndo perfect coz hy mengine utamteach ataendana nw! N about harufu ya mwl jitaid kumshaur ht about kuchang diet
 

mi apo ndo wanawake wanaponichoshaga asee,namuonea huruma uyo jamaa wa sana,ila wee una tamaa sana ila kwa kifupi uyo jamaa wa mwanza ni zaidi na inabidi umwombe msamaha
 

hivi viwanawake vyenye master cjui degree ni matatizo matupu alafu uyu atakua muhaya bila shaka,wa kwangu mi nlimtimulia mbali asinletee upuuzi,awa ni kupiga na kutembea tu.
 
Huyo wa mwanza bado ni mtoto, yani akili yake bado ya kitoto-toto na huyu mwingine his z just a player. jaribu kuona tofauti kati ya LOVE na INFACTUATION. USHAURI: Achana na wote, na uanze sali na Omba Mungu akupe wako mtakae jenga familia.
Nawakilisha.
 
Huyo wa mwanza bado ni mtoto, yani akili yake bado ya kitoto-toto na huyu mwingine his z just a player. jaribu kuona tofauti kati ya LOVE na INFACTUATION. USHAURI: Achana na wote, na uanze sali na Omba Mungu akupe wako mtakae jenga familia.
Nawakilisha.:disapointed:
 
yeah ts xerious ashadii unajua ts beta ku stay sehemu unayopendwa kuliko usipopendwa ingawa dadam kaonesha anamkubali sana huyo mchizi wa ofisini but wat am try 2 say ni dadam kukaa friendly na mchizi wake na kumueleza v2 asivyopenda na kama alivyosema mshikaji dzain kama wamepishana kdogo ishu ya age so dzain kam huyo mchizi bado ana u chalii fulani but i hope utaisha na mambo yatakuwa poa tuu na ishu ya kujua ni nii HUYO JAMAA WA OFISINI HAKUPENDI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…