Kuna kijana anahitaji ushauri wangu juu ya msichana yupi anafaa kumuoa kati ya hawa wawili anaodate nao, nimeona ni vyema kupata ushauri kutoka kwenu wadau kabla ya kumuadvice accordingly!
Binti wa kwanza ni mrembo wa haja - namaanisha mrembo kweli kweli, hawa wa kwenye magazeti tupa kule, ana elimu ya shahada ya kwanza kwenye mambo yetu yale ya uandishi wa habari. Anatoka familia bora - I mean mboga 7 na usafiri wa haja, that being the case anamuweka kijana mjini sana pindi anapopigika coz he is from familia zetu hizi za Mungu saidia siku zijongee. Tatizo binti ana sifa ya majidai na kuwadharau ndugu, jamaa na marafiki wa huyu kijana.
Binti wa pili ni mzuri wa kawaida sana na maisha yake ni ya chini coz wazazi wake hawana uwezo hali iliyopelekea kushindwa kupata elimu hata ya sekondari. Ila binti huyu ana upendo kwa watu wote na ni mchapakazi mzuri na anayejua kuhustle japo bado hajafanikiwa kuwa katika hali nzuri kiviiile!!
Huyu kijana alianza na binti wa pili, lakini alitokea kupendwa na huyu binti wa pili katika shughuli zake za kuuza nguo za wanawake kwenye kijiwe chake. Kwa hivyo jamaa anampenda binti wa pili lakini kutokana na maisha yake na mambo anayotimiziwa pamoja na ahadi anazopewa na binti wa kwanza anawekwa kwenye mtihani mkubwa maana anataka kuoa na wote wanasisitiza kuolewa, hapo chacha afanye nini wajameni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Binti wa kwanza ni mrembo wa haja - namaanisha mrembo kweli kweli, hawa wa kwenye magazeti tupa kule, ana elimu ya shahada ya kwanza kwenye mambo yetu yale ya uandishi wa habari. Anatoka familia bora - I mean mboga 7 na usafiri wa haja, that being the case anamuweka kijana mjini sana pindi anapopigika coz he is from familia zetu hizi za Mungu saidia siku zijongee. Tatizo binti ana sifa ya majidai na kuwadharau ndugu, jamaa na marafiki wa huyu kijana.
Binti wa pili ni mzuri wa kawaida sana na maisha yake ni ya chini coz wazazi wake hawana uwezo hali iliyopelekea kushindwa kupata elimu hata ya sekondari. Ila binti huyu ana upendo kwa watu wote na ni mchapakazi mzuri na anayejua kuhustle japo bado hajafanikiwa kuwa katika hali nzuri kiviiile!!
Huyu kijana alianza na binti wa pili, lakini alitokea kupendwa na huyu binti wa pili katika shughuli zake za kuuza nguo za wanawake kwenye kijiwe chake. Kwa hivyo jamaa anampenda binti wa pili lakini kutokana na maisha yake na mambo anayotimiziwa pamoja na ahadi anazopewa na binti wa kwanza anawekwa kwenye mtihani mkubwa maana anataka kuoa na wote wanasisitiza kuolewa, hapo chacha afanye nini wajameni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!