Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,315
Wadau hamjambo?Nina vijana wangu wa kazi za shamba wawili.Bahati mbaya wote wana malaria na nikawapa hela wakanunue dawa.Bahati mbaya walikwenda maduka ya dawa tofauti.
Duka A. Mhudumu anasema mgonjwa aanze dozi saa nne kisha saa kumi na mbili asubuhi.Na dozi ya tatu atumie kama alivyoanza dozi ya kwanza yaani saa nne atafuatia saa kumi na mbili asubuhi hadi atakapomaliza
Duka B. Mhudumu amesema kama mwenzake kuwa aanze saa nne kisha saa kumi na mbili jioni.Dozi ya tatu anywe saa kumi na mbili jioni hadi anamaliza.
Je vyupi yupo sahihi?
Duka A. Mhudumu anasema mgonjwa aanze dozi saa nne kisha saa kumi na mbili asubuhi.Na dozi ya tatu atumie kama alivyoanza dozi ya kwanza yaani saa nne atafuatia saa kumi na mbili asubuhi hadi atakapomaliza
Duka B. Mhudumu amesema kama mwenzake kuwa aanze saa nne kisha saa kumi na mbili jioni.Dozi ya tatu anywe saa kumi na mbili jioni hadi anamaliza.
Je vyupi yupo sahihi?