Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,315
Duka BWadau hamjambo?Nina vijana wangu wa kazi za shamba wawili.Bahati mbaya wote wana malaria na nikawapa hela wakanunue dawa.Bahati mbaya walikwenda maduka ya dawa tofauti.
Duka A. Mhudumu anasema mgonjwa aanze dozi saa nne kisha saa kumi na mbili asubuhi.Na dozi ya tatu atumie kama alivyoanza dozi ya kwanza yaani saa nne atafuatia saa kumi na mbili asubuhi hadi atakapomaliza
Duka B. Mhudumu amesema kama mwenzake kuwa aanze saa nne kisha saa kumi na mbili jioni.Dozi ya tatu anywe saa kumi na mbili jioni hadi anamaliza.
Je vyupi yupo sahihi?
Ubarukiwe mkuuDuka B
8 hours then 12 hours hiyo especially kwa watoto
hiyo A pia huwa inatumika pia esp. kwa watu wazima
Wadau hamjambo?Nina vijana wangu wa kazi za shamba wawili.Bahati mbaya wote wana malaria na nikawapa hela wakanunue dawa.Bahati mbaya walikwenda maduka ya dawa tofauti.
Duka A. Mhudumu anasema mgonjwa aanze dozi saa nne kisha saa kumi na mbili asubuhi.Na dozi ya tatu atumie kama alivyoanza dozi ya kwanza yaani saa nne atafuatia saa kumi na mbili asubuhi hadi atakapomaliza
Duka B. Mhudumu amesema kama mwenzake kuwa aanze saa nne kisha saa kumi na mbili jioni.Dozi ya tatu anywe saa kumi na mbili jioni hadi anamaliza.
Je vyupi yupo sahihi?
Daahh sasa hata hii nayo ya kuuliza?Ndiyo "vyupi" yupo sahihi hapo. Unawaza nini pastor?
Asante mkuu nitaitunza hiiA yupo sahihi. Dose ya pili ni masaa nane toka dose ya kwanza, na dose ya tatu ni masaa 24 toka dose ya kwanza, zinazofuata zinazofuata ni 12 hrly. Reference STG 2013
View attachment 423997