GREAT NAME JF-Expert Member Joined Aug 31, 2016 Posts 1,078 Reaction score 1,718 Jul 27, 2018 #1 Hamjambo,mambo vipi,shkamooni, Moja kwa moja kwenye #mada,eti katika #ndoa ukiwa na #mawifi au #mashemenga au #wote kwa kwa pamoja watakao kufanya uanze kuona #ndoa tamu kama #mwarobaini kwa #vichokanyoko vyao? nawasilisha #waheshimiwa.
Hamjambo,mambo vipi,shkamooni, Moja kwa moja kwenye #mada,eti katika #ndoa ukiwa na #mawifi au #mashemenga au #wote kwa kwa pamoja watakao kufanya uanze kuona #ndoa tamu kama #mwarobaini kwa #vichokanyoko vyao? nawasilisha #waheshimiwa.
Shida na raha JF-Expert Member Joined Aug 8, 2014 Posts 3,773 Reaction score 3,471 Jul 27, 2018 #2 Umeandika nini mkuu..
Godee jr JF-Expert Member Joined Apr 17, 2012 Posts 1,836 Reaction score 2,536 Jul 27, 2018 #3 Dogo nenda shule aisee. Wazazi wako wanapata shida sana kukutafutia school fees
Eminem jr JF-Expert Member Joined May 21, 2018 Posts 2,003 Reaction score 4,584 Jul 27, 2018 #5 Write your reply...Aiseeeeeeeee
torvic JF-Expert Member Joined Mar 9, 2016 Posts 3,978 Reaction score 9,841 Jul 27, 2018 #6 amesemaje!
Xubzero JF-Expert Member Joined Jul 21, 2018 Posts 243 Reaction score 413 Jul 27, 2018 #7 hivi ulishamaliza kusoma pale shule ya msingi vijito viwili?
sabosabo JF-Expert Member Joined Dec 16, 2012 Posts 2,050 Reaction score 5,066 Jul 27, 2018 #8 Kwa uandishi wako tu,nadhani shemeji yako tu utakua unampa tabu saana dogo!
P Pakada JF-Expert Member Joined Apr 14, 2018 Posts 943 Reaction score 1,073 Jul 27, 2018 #9 Hata sijaelewa aliye elewa anieleweshe kidogo
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,027 Jul 27, 2018 #10 Hakuna atakayeninyima raha kwani wamenioa wao!!!,labda mwenyewe ndo anikatae naye akinipiga Chini maisha yanaendelea bado.
Hakuna atakayeninyima raha kwani wamenioa wao!!!,labda mwenyewe ndo anikatae naye akinipiga Chini maisha yanaendelea bado.