Yupi Msanii bora kwa mwaka 2017?

Saida karoli
Nahisi umemiliki simu ya smartphone mwaka huu maan Siyo kwa ulimbukeni huwo.. Au kama sijakosea elimu yako ni ndogo sana... Acha ukabila..
Naona saida karoli kajifungulia uzi wa kujisifu
Kumpenda saida karori ndo kuwa mkabila kweli we ndo mkabila mkubwa unaefikiria hivyo poor thinking .ukabila ndo huo wa kwa nini kabila lile lakini sio wa kutoa habari kama ninavyofanya.hebu nikwambie ukweli una roho mbaya na wivu mkubwa
hahahaha
 
Nimeandika kihaya wapi
Nilikuona kwenye uzi wa Bukoba vs Moshi mishipa ya kichwa ilikusimama kisa kubishana
Anyway unakaukabila kwel hata halipingiki hilo

NOTE: Ukimind Basi ujue ni kwel
 
Nilikuona kwenye uzi wa Bukoba vs Moshi mishipa ya kichwa ilikusimama kisa kubishana
Anyway unakaukabila kwel hata halipingiki hilo

NOTE: Ukimind Basi ujue ni kwel
hahaha mkuu mm na yy ndio tulikuwa tunaamsha dude
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…