Yupi ni mchezaji bora katika list hii ya Wabrazil?

Weka mafanikio ya kila mmoja ngazi ya Taifa na clubs then utapata jibu
 
Mimi kuna watu watatu ama wanne..kuna Mbrazil mmoja alikuwa anaitwa RAI. Halafu kuna Romario huyu aliibeba mabegani Brazil. Kuna Cafu na kamanda mtiifu DUNGA. Hawa walikuwa kazi hasa. Chakulia BEBETO je nani atasimama miaka hiyo na wanaume hao
 
Mimi kuna watu watatu ama wanne..kuna Mbrazil mmoja alikuwa anaitwa RAI. Halafu kuna Romario huyu aliibeba mabegani Brazil. Kuna Cafu na kamanda mtiifu DUNGA. Hawa walikuwa kazi hasa. Chakulia BEBETO je nani atasimama miaka hiyo na wanaume hao

Changamoto vijana wa siku hz hatukuwaona hao wakicheza ila haiondoi kuwa jamaa walikuwa ni mafundi haswaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…