Depay + Van De Beek = No.VAN NISTERLOOY
VAN DER SAR
VAN PERSIE
DEPAY
VAN DE BEEK
Huko kwingine napo palikuwa na miamba zaidi ya kutwaa euro 1988 na kuingia fainali ya kombe la dunia mwaka 1974 wakitolewa na ujerumani na mwaka 1978 wakitolewa na Argentina na hii ya juzi kati hawana mafanikio mengine.Ajabu sana hawajawahi shinda world cup
Huku wafaransa wamechukua mara 2
France 98 waliupiga mwingi mnoNasikia Netherlands 2002(world cup) walishindwa kufuzu...na mwaka 1998 walifika mpaka semi-final.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
The non flying dutchman, Denis Bergkamp
Robben tuko pamojaBabu yangu Robben me namkubali kitambo sana veta
Wazima wako Mirembe vichaa tuko na mitaaniLuis Maradona Miqsone