Elections 2015 Yupi ni Ripota Bora wa Habari za Uchaguzi (Kampeni)??


naunga mkono hoja
 
Jamani yuko Mdada mmoja wa Chanel ten anazunguka na lowasa yuko vizuri sana akifuatiwa na Spencer
 
Mchumia tumbo tu huyo, fisadi kuiona ikulu ni ndoto ni kama mzinzi kuona ufalme wa Mungu, mtampambaa lkn muda utasema ukweli.

taja wako unayemkubali using'ang'anie kuponda chaguo la mwingine

Spencer Lameck ndo bora kwa sasa i wish ccm tungekuwa naye tungekuwa na kazi ndogo sana iliyobaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…