Nipigie pande hapoMungu akufanyie wepesi mkuu akupe wa kufanana na wewe
Hivi mwenye gubu anajijua kweli kama hana gubu [emoji848]
Kabisa mie mpole mny'eny'ekevu na hekima bibie
Mke huyu hapa mkuu umepataNipigie pande hapo
Khee umekuwa mzee ghafra.. acha kujisingizia banaa.... EMBU JITOSE...Mambo ya vijana hayo sisi wazee tumeshajizeekea
Okk.....mwenyez akujalie ufanikiwe ndugu upate atakayekufaa na kukusikiliza........by the way hata mimi nilipita veta, umeme...