Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
Machalii wanazinguaHatari sana
duh white sio poa utakuja kuua white...Sometime mpunguze mazoea na watu ambao hawajawazoea na ambaye huna utani naye,,,,, tu***k them all..
Leo nipo zangu narefresh mind kutokana na kuyashangaza macho maajabu ya Mungu mtaani ghafla nasikia mtu ananiita tena yuko serious Na weusi wangu huu nakatisha sehemu limtu linakzana liko bize kuniita eti we whaitii we whaitii wewe nimerudi nyuma nimemtia bonge moja la ngumi nadhani yuko ICU sasa hivi ππ
Daaaah mtakuja kuvunjwa shingoduh white sio poa utakuja kuua white...
Nitakuja kuvunja mtu humu jfUkilewa usichati......
mkuu sometimes chukulia vitu poa maana binadamu watakukera sana ukiwa unakasirika sana.Daaaah mtakuja kuvunjwa shingo
Uko wapi kwani......Nitakuja kuvunja mtu humu jf
Sio cheupe ndio anazinguaMachalii wanazingua
Oyaaa Salt, njoo back stage kidogo uvae gulo vuziUko wapi kwani......
Sijazichapa kitambo sana kudadeki
Ulikua na nia njema tuu kuwambia ndgu zako kua umefiwa...Ukilewa usichati......
Daaaah kuna wana mimi nitakuja kuwavunja shingo myself najijua ni black kinoma ila sasa mambo ya kuniita sijui mchina au whiteSasaa utaki tukuita white mkuu .wkt u white wako anauona mwitajii..πππ
Najua unacheka kwa sababu wewe ni whiteUmenifanya nicheke