Yupo wa kunipiga ban lakini hakuna wa kunifunga

Madikizela

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2009
Posts
679
Reaction score
450
Hapa JamiiForums nilisoma shairi moja linasema "kunde mmempa wenyewe akijamba mwalalamika, acheni ajambe asafise tumbo".

Shairi hili lina mantiki kubwa sana ndiyo maana walikuwapo wa kumkamata maxence lakini hakuna wa kumfunga.

Basi niishie hapo nakwenda msikitini.
 
Msikitini na post ya mwanamke titi nje utakuwa wa upande ule mwingine ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…