Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,255
Utasikia hela ya ruzuku ya mafuta iliyokuwa kwenye hazina imepoteaSijamsikia siku za hivi karibuni huyu mbunge, mwanasheria mkuu na mwenyekiti wa bunge mstaafu.
Kwakweli nakuwa nervous kiasi maana huyu akikaa kimya basi ujue kuna kinachoendelea huko.
Kipindi hiki watu wanarudi zao tutashangaa tu tushapigwa tukio.
Anajipanga kurudi 2025 kwa kishindo.Sijamsikia siku za hivi karibuni huyu mbunge, mwanasheria mkuu na mwenyekiti wa bunge mstaafu.
Kwakweli nakuwa nervous kiasi maana huyu akikaa kimya basi ujue kuna kinachoendelea huko.
Kipindi hiki watu wanarudi zao tutashangaa tu tushapigwa tukio.
Mzee wa kazi kwenye taifa hili. Hujui actions zake zinavyomuacha salama?MZEE WENU NA NANI😬😬
Wanarudi mmoja mmoja, hujawasikia? Kinana, Sophia..Kila kitabu na zama zake, sasa ni wakati wa kuigiza sauti za wajukuu
Huyu ni sterling, hapotezwi hadi mwisho.. tutasikia tukio afu yeye anakaa pembeni.Utasikia hela ya ruzuku ya mafuta iliyokuwa kwenye hazina imepotea
Halafu huyu gwiji haachagi incriminating evidence behind..
Inawezekana kabisa.Anajipanga kurudi 2025 kwa kishindo.
Mkuu usihitimishe mambo, mzee anaweza kuwa anavuta kasi arudi. Connection zote zimeshajiseti.Nyoka lenye makengeza alishatolewa kwenye reli ya kupata madili makubwa makubwa sasa hivi anacheza na wajukuu
Ngeleja, Membe, Nchimbi, Kingwangallah!Wanarudi mmoja mmoja, hujawasikia? Kinana, Sophia..
List ni ndefu na wanawarudisha taratiibu ili watu wasihoji.Ngeleja, Membe, Nchimbi, Kingwangallah!
Sasa jiwe si limeshazama?Hana hamu na jiwe
Sijamsikia siku za hivi karibuni huyu mbunge, mwanasheria mkuu na mwenyekiti wa bunge mstaafu.
Kwakweli nakuwa nervous kiasi maana huyu akikaa kimya basi ujue kuna kinachoendelea huko.
Kipindi hiki watu wanarudi zao tutashangaa tu tushapigwa tukio.
Spika alikuwa anajulikana. Kimya chake kitakuja na mshindo mkuu.Huyu si kagombea u Spika juzi? Kulikoni kumuotea nyoka wa makengeza?
List ni ndefu na wanawarudisha taratiibu ili watu wasihoji.
Yule mzee anataka kizazi chake chote kidumu kwenye utajiri wa milele. Ukiona watoto wake wanavyoishi kwa anasa huko Dubai huwezi kuamini.Ndio maana watu wanasema adui mkubwa wa nchi hii ni Vasco Dagama!!
Watakosaje kuishi kwa anasa na baba yao ameiba fedha yote ameificha DUBAI!!! Ndio kisa cha kuogopa katiba mpya kwani yaliyompata Zuma kule bondeni na yeye yangempata !!! Anafikiri wabongo wajinga hawajui kuwa ananyumba amenunua huko Dubai!!!Yule mzee anataka kizazi chake chote kidumu kwenye utajiri wa milele. Ukiona watoto wake wanavyoishi kwa anasa huko Dubai huwezi kuamini.