Maalim Raphael
Member
- Nov 23, 2018
- 94
- 202
Kweli, kuna vingi kwa kudiscussMpotezee tu kwanza hajawahi kuwa celeb kiviileeep
Hiyo track kipindi inabang ulikuwa tayari una ufahamu kamili au ulikuwa huju hata utaenda kuishi sayari ipi??Mpotezee tu kwanza hajawahi kuwa celeb kiviileeep
Hiyo track kipindi inabang ulikuwa tayari una ufahamu kamili au ulikuwa huju hata utaenda kuishi sayari ipi??
Mkuu umenikumbusha mbali sana kipind hcho JITEGEMEE SEC Miaka ya 2000 hawa jamaa walisumbua sana wazee wa "Maskin Jeur "Bwana Mkubwa aka Daz P ,Manduli Mobb kama unataka kuja home ,way back 2000s.
.Kale magimbi we mpogoro!!.. watu tumezaliwa na kukulia kwenye bongo flava kitambo.. unaongea nini wewe?? ushakula mahindi ya kuchoma na ndizi mtwike hapo msamvu unajiona mjaaaanja mwenyewe!