Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaonewa au anaichokoza dunia yeye mwenyewe kama Hamas?mwenyewe , Kwa msamaha wa Rais.
Jamaa anaonewa Sana na hii Dunia
Really?🤔Deo mbona amefariki mwaka juzi, tumemzika Mwanza Mkolani kwa wazee wake
Hakuwa amezaliwa kabisa huyo mrs. Mwashambwa.ephen_ sidhan hata kama enzi Deogratias Kisandu kuchangamka humu wewe ulikuwa Primary school
Yupo shinyangaWakuu.
Nimemkumbuka Sana huyu mwamba,,.
Nina muda mrefu sijamuona jamvini ..
Mwenye taarifa zake tafadhari.
Haya ndiyo maajabu ya jf sasa!
We huogopiii?
Alikuwa vidudu huyu.ephen_ sidhan hata kama enzi Deogratias Kisandu kuchangamka humu wewe ulikuwa Primary school
Wanazingua sana wadau.Majibu ya wadau humu, ndiyo maana uongozi wa JF ulikuja na mambo ya JamiiCheck
Maana majibu sio ya Nchi hii
Hatari sana wadau 🙌Wanazingua sana wadau.