ibesa mau JF-Expert Member Joined Sep 17, 2015 Posts 2,109 Reaction score 1,697 Jul 3, 2016 #1 Jana wakati tupo ukumbini tanaangalia game ya europa kati ya Italy na Germany ghafla ulianza mjadala wa kumsifia huyo dr. Rick kila mtu akitaka kujua alipo hivi sasa na kama bado anajihusisha na masuala ya uchambuzi.
Jana wakati tupo ukumbini tanaangalia game ya europa kati ya Italy na Germany ghafla ulianza mjadala wa kumsifia huyo dr. Rick kila mtu akitaka kujua alipo hivi sasa na kama bado anajihusisha na masuala ya uchambuzi.
ibesa mau JF-Expert Member Joined Sep 17, 2015 Posts 2,109 Reaction score 1,697 Jul 3, 2016 Thread starter #2 Siiaona wa kumfikia huyo dr. hivi sasa
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,203 Reaction score 37,906 Jul 3, 2016 #3 Dr. Rick Abdallah, mtanzania wa kwanza kuingia SANTIAGO BERNABEU, kuangalia UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL, tena kwa kutumia pesa yake ya mfukoni.
Dr. Rick Abdallah, mtanzania wa kwanza kuingia SANTIAGO BERNABEU, kuangalia UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL, tena kwa kutumia pesa yake ya mfukoni.
PAGAN JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 12,181 Reaction score 20,148 Jul 3, 2016 #4 Slim5 said: Dr. Rick Abdallah, mtanzania wa kwanza kuingia SANTIAGO BERNABEU, kuangalia UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL, tena kwa kutumia pesa yake ya mfukoni. Click to expand... You must be joking.
Slim5 said: Dr. Rick Abdallah, mtanzania wa kwanza kuingia SANTIAGO BERNABEU, kuangalia UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL, tena kwa kutumia pesa yake ya mfukoni. Click to expand... You must be joking.
mng'ato JF-Expert Member Joined Oct 27, 2014 Posts 29,200 Reaction score 49,076 Jul 3, 2016 #5 Ana ka pub kake hapo dar, nadhani ndo ana shinda hapo ofisini kwake