<br />Mkuu, huyu jamaa alikuwa na kipaji cha utangazaji. Akitangaza mpira usiombe timu unayoipenda ikawa inashambuliwa... atakuweka roho juu kama utumbo buchani.<br />
<br />
Kwenye kutangaza habari walikuwapo wakina Bujaga Izengo Kadago na Fauziat Ismail Aboud.
<br />Duh kweli jamaa sijui yuko wapi? nakumbuka wakati anatangaza matangazo ya kombe la dunia 2002, ilikuwa ni noma yaani utafikiri unaangalia live.
<br />Jamani!! Jamani!!<br />
Tuambie, Malongo yuko wapi? Halafu tutawaulizia wengine maana list ni ndefu.
<br /><br /><br />
<br /><br />
malongo yuko kwao mbulu longtime ile fan ilimshinda coz alikuwa na mambo yake ya ajabu ajabu,alikuwa anagonga mtungi mby mpk sometime anaharibu kaz then jamaa ni mruka sarakas mzur sana,so ameamua ku2tulia huko kwao mbulu
<br />
<br />
malongo yuko kwao mbulu longtime ile fan ilimshinda coz alikuwa na mambo yake ya ajabu ajabu,alikuwa anagonga mtungi mby mpk sometime anaharibu kaz then jamaa ni mruka sarakas mzur sana,so ameamua ku2tulia huko kwao mbulu
Kwangu binafsi ni mtangazaji niliyekuwa namkubali mno kipindi hicho alipokuwa redio Tanzania Dar es salaam na sasa ni TBC.
Alikuwa akinivutia mno hasa wakati wa matangazo ya mpira wa miguu aka 'kabumbu' na matangazo mengine ya kibiashara.
Kwa mwenye taarifa zake atujuze tafadhali,
Jamaa alikuwa anakata Tungi kuliko Mamba! Alipelekwa Mwanza kwenda kutangaza RFA kwa ndege, akauchapa usingizi ndani ya ndege kwa pombe walizokuwa wanapewa abiria, mtu aliyekuja kumpokea akarudi bila kumwona. Na kwa kuwa wahudumu wa ndege zetu hawako makini wakamstukia wakati ndege inarudi Dar ameuchapa usingizi. !
RTD ilikuwa na watangazaj wa ukwel akina Halima Mchuka,Juma Nkamia
<br /><br /><br />
<br /><br />
malongo yuko kwao mbulu longtime ile fan ilimshinda coz alikuwa na mambo yake ya ajabu ajabu,alikuwa anagonga mtungi mby mpk sometime anaharibu kaz then jamaa ni mruka sarakas mzur sana,so ameamua ku2tulia huko kwao mbulu
<br /><br /><br />
<br /><br />
Acha mambo yako ya uwongo humu jamvini! Mijitu mingine inajitakiaga BAN humu ndani. Acha ulazi wewe! Malongo anafanya kazi radio moja jijini Mwanza.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Acha mambo yako ya uwongo humu jamvini! Mijitu mingine inajitakiaga
BAN humu ndani.🙂.w Acha ulazi wewe! Malongo anafanya kazi radio moja jijini Mwanza.