Yupo wapi Ezekiel Malongo aliyekuwa RTD kipindi hicho?

Huyu mtu yupo jijini dar ni wiki iliyopita tu nimemuona sehem. ni kweli jamaa amekuwa chapombe na amebadilika hata sura ni tofauti na nilivyomuona miaka miwili iliyopita. kikazi nadhani ni wale waandishi huru kwa sasa na hasa wale waliojikita kwenye makundi nadhani chama cha magamba wanaelewa zaidi. ila all in all jamaaa amepitiliza sana kwenye ulevi. " TUMUOMBEE JAMANI"
 
<br />
<br />

Shukrani mkuu kwa taarifa,maisha ndivyo yalivyo
 
Taarifa nilizozipata leo Ezekiel Malongo amefariki dunia hospitali ya Mwananyamala kwa ugonjwa wa Malaria.
 
RIP,naona hata kichwa cha habari kingebadilika
 

Hii habari inaniuma sana,jamaa alinikosha mno kombe la dunia 2002
 
pole sana jamaa ametangulia mbele za haki leo R.I.P Malongo, Ezekiel:yawn:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…