kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
daaa,kitambo saanaKama ulikuwepo kipindi bongo flava ndo inaanza kushika hatam kukita mizizi bongo basi utakuwa unakikumbuka kipindi maarufu cha bonga na startv kikihostiwa na na mwanadada mrembo maarufu kipindi icho akienda kwa jina la Fatuma Shemweta, nina mda sana sijamsikia, je yupo wapi. Mwenye kujua zaid anijuze habari za huyu mrembo.
Weka picha yake... Hatumjui
Kalikuwa karembo sana haka kadadaBado yupo sahara media lakini sio kitengo cha utangazaji
Haya. Asante.Bado yupo sahara media lakini sio kitengo cha utangazaji
Ok
...na njaa yote ya pale bado kakomaa nao?Bado yupo sahara media lakini sio kitengo cha utangazaji
Kabibti katam sana kaleUyo mdada nilikuwa naye arusha mwaka 2014 akiishi nyumba za aicc kijenge. Atakaye muona amwambie natafuta pia
Mbona hamumuulizii sauda sijui saida? Manake naona anabadilika kuwa kiumbe tofauti. Evolution is real.
You mean Sauda Mwilima.
Right?
BTW Mzima wewe mdada?