K kwangu11 Member Joined Apr 5, 2012 Posts 32 Reaction score 10 Mar 11, 2015 #1 Wadau huyu jamaa alikua mtu wa ku arange ma white party kwa sana,but nowadays simsikii,mwenye kujua anijuze.
Wadau huyu jamaa alikua mtu wa ku arange ma white party kwa sana,but nowadays simsikii,mwenye kujua anijuze.
Amalinze JF-Expert Member Joined May 6, 2012 Posts 6,780 Reaction score 5,305 Mar 11, 2015 #2 Frank Mdoe au Frank Gonga au Machozi Boy? Kama huyo yupo sana mtafute FB.
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 27,031 Reaction score 49,928 Jul 28, 2016 #3 muulize mange kimambi
Ayanda85 JF-Expert Member Joined May 13, 2014 Posts 628 Reaction score 566 Jul 28, 2016 #4 Mh hapa kuna namna..
kuduman201036 JF-Expert Member Joined Aug 26, 2015 Posts 4,058 Reaction score 2,175 Jul 28, 2016 #5 .........Utawala huu si wa kujionyesha Onyesha kama ''HULIPI KODI'' yatakukuta MAMBO............
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Jul 28, 2016 #6 Miss Natafuta said: muulize mange kimambi Click to expand... Pamoja na kuwa ule uhusiano ulileta baraka ya mtoto lakini ninadhani jamaa anaisoma namba kumjua mama mtoto.
Miss Natafuta said: muulize mange kimambi Click to expand... Pamoja na kuwa ule uhusiano ulileta baraka ya mtoto lakini ninadhani jamaa anaisoma namba kumjua mama mtoto.
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Jul 28, 2016 #7 Jamaa anajutia kujiingiza kwenye yale mahusiano na kwa vile mwanamke alimzingua na kumtishia, yawezekana ikawa moja ya sababu ilopelekea akajipoteza. CC: mange kimambi
Jamaa anajutia kujiingiza kwenye yale mahusiano na kwa vile mwanamke alimzingua na kumtishia, yawezekana ikawa moja ya sababu ilopelekea akajipoteza. CC: mange kimambi